Tuesday, November 15, 2011

Eng. ATHUMAN FUKO (Mdau wa Blog) & Dr. HALIMA WEDDING

EVENT: WEDDING & RECEIPTION
COLOR: AQUA BLUE & GRAY
VENUE: TAZARA
MC: KENYATA (KENNY CHAPOMBE)
DATE: 12 NOVEMBER 2011

 Mr.&Mrs. Fuko siku ya ndoa yao iliyofungwa Mombasa Kenya siku ya tarehe 09 Novemba 2011

 Wanandoa siku ya Receiption yao iliyofanyika siku ya tarehe 12 Novemba 2011 katika ukumbi wa Tazara Dar es Salaam. kwakweli They made it!!

 Maharusi wetu wakifungua muziki, kwa pozi la aina yake. mi mkia tu huo wa tausi. weraweraaa!!!\

 Maharusi katika picha ya familia.

Bi harusi wetu akiwa saluni mambo ya Anet Salon TMK Dar.

No comments: